Zoezi – Vitendawili

Results

#1. Afahamu kuchora lakini hajui achoracho.

#2. Huko ng'o na kule ng'o

#3. Nifungue nikufunike.

#4. Atolewapo nje hufa.

#5. Babu hupiga kelele akojoapo.

#6. Bak bandika, bak bandua.

#7. Fika umwone umpendaye.

#8. Hachelewi wala hakosei safari zake.

#9. Hesabu haihesabiki.

#10. Hula lakini hashibi.

#11. Jiwe litoalo maji.

#12. Kina mikono na uso lakini hakina uhai.

#13. Likitoka halirudi.

#14. Nina mwezi ndani ya bakuli.

#15. Ninakwenda naye na kurudi naye.

#16. Nameza lakini sishibi.

#17. Natembea juu ya miiba lakini sichomwi.

#18. Ndege wengi baharini.

#19. Panda ngazi polepole.

#20. Taa ya Mwarabu inapepea.

#21. Ukimwona anakuona.

#22. Nyumba yangu kubwa lakini haina mlango.

#23. Kafunua jicho kundu.

Finish

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *