Category: Kiswahili
Grade 6 Kiswahili – Zoezi – Kivumishi kirejeshi ‘AMBA’
Chagua kivumishi kirejeshi amba- kinachofaa.
Ngeli za Kiswahili – Zoezi
Umepewa orodha ya maneno. Onyesha kama maneno haya yako katika ngeli ya A/WA au ngeli ya U/I.
Viungo vya mwili
Utapata hapa orodha ya viungo vya binadamu vya ndani vilivyotafsiriwa kutoka Kiingereza hadi Kiswahili. Head – Kichwa Ear – Sikio(Masikio) Nose – Pua Mouth – Kinywa, Mdomo Gum – Ufizi…
Tanakali Za Sauti – ZOEZI
Tanakali za sauti ni mbinu ya kutumia maneno yanayoiga sauti au hali fulani. Pia tanakali za sauti huonyesha namna kitendo kilivyofanyika. Kwa mfano kuanguka pa!
Akisami – Fractions in Kiswahili
1/2 – Nusu 1/3 – Theluthi 1/4 – Robo 1/5 – Humusi 1/6 – Sudusi 1/7 – Subui 1/8 – Thumni 1/9 – Tusui 1/10 – Ushuri